Habari Zetu :

Home » , » MBATIA AONYESHA TATIZO LA MATOKEO MABOVU KIDATO CHA NNE 2012

MBATIA AONYESHA TATIZO LA MATOKEO MABOVU KIDATO CHA NNE 2012

Written By Unknown on Friday, February 22, 2013 | 7:12 AM



Baada ya matokeo ya kidato cha nne 2012 kuwa mabovu kupita kiasi, wadau wameibuka na maoni tofauti. Pichani ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi na mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia akionyesha mitaala  iliyosababisha wanafunzi kufanya vibaya. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Kampeni na Uchaguzi wa chama hicho, Bw. Faustine Sungura.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

IDADI YA WATU

BLOG ARCHIVE

DROP YOUR COMMENTS HERE

 
Designed by : Bongo Blogs Designers | Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr
Contacts: 0719 625003 / 0765 860437Welcome
Copyright © 2011. SNOUT HOT NEWZ - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template