skip to main |
skip to sidebar
RAIS MATATANI
Kutokana na kinachodaiwa kuwa matumizi mabaya ya mkwanja wa serikali ya wanafunzi,Rais wa wanafunzi St John’s University Dar es Salaam campus(St Mark's),amejikuta matatani hii ni baada ya
kutumia vibaya student organisation fund.Hii ni kwa mujibu wa taarifa
zilizopo chuoni hapo ambapo wanafunzi wanajipanga kumng’oa madarakani hii ni
baada ya matumizi mabaya ya madaraka aliyopewa na wanafunzi na wameamua kuitisha kikao cha
wanachuo wote wa chuo hicho kikao ambacho kitafanyika chuoni hapo
siku ya kesho ijumaa tarehe 16 mwezi huu,kwa taarifa zilizozagaa chuoni
inasemekana rais huyo ametumia vibaya fedha za organisation ya
wanafunzi hii ni baada ya wadau vyuoni kutuma taarifa hizi.Kwa
mwendo huu hatutafika!!
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !