Habari Zetu :

Home » , » BREAKING NEWZ.... BOMU LARIPUKA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA

BREAKING NEWZ.... BOMU LARIPUKA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA

Written By Unknown on Saturday, June 15, 2013 | 9:14 AM


Mkutano wa CHADEMA kabla ya bomu kulipuka.


Picha Baada ya mlipuko wa bomu. 

Leo ikiwa ni siku ya mwisho kufanya kampeni za udiwani, mkoani Arusha kumetokea dosari baada ya watu saba kujeruhiwa kwa mlipuko wa bomu uliotokea mara baada ya kumalizika mkutano wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) uliokuwa ukifanyika katikaViwanja vya Soweto Mjini Arusha.
Kwa habari zaidi endelea kutembelea website hii.

Share this article :

1 comment:

  1. Sipati picha!Hao wanajaribu kila mbinu tupigane, tusidanganyike tukapigana.serikali jitahidini tunajua na wabaya wa hii nchi wanajificha wasipatikane.yaani wakikamatwa wawe mfano.

    ReplyDelete

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

IDADI YA WATU

BLOG ARCHIVE

DROP YOUR COMMENTS HERE

 
Designed by : Bongo Blogs Designers | Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr
Contacts: 0719 625003 / 0765 860437Welcome
Copyright © 2011. SNOUT HOT NEWZ - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template