Habari Zetu :

Home » , » TASWIRA MBALIMBALI ZA MAANDAMANO NA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI DAR LEO

TASWIRA MBALIMBALI ZA MAANDAMANO NA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI DAR LEO

Written By Unknown on Sunday, February 10, 2013 | 9:14 AM

Viongozi wa Chadema wakiwa katika mshikamano mkubwa, wakiandamana kupinga vitendo vya uonevu vinavyofanywa na Spika na Naibu wake dhidi ya wabunge wa Upinzani.
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam walijitokeza kuunga mkono maandamano yaliyoandaliwa na Chadema kupinga uonevu wanaofanyiwa wabunge wa Upinzani Bungeni.
Viongozi wa Chadema wakiwa meza kuu kutoka kushoto Katibu Mkuu Dk. Wilbroad Slaa, Mwenyekiti Mhe. Freeman Mbowe na Naibu Katibu Mkuu Mhe. Zitto Kabwe.
Mhe. Tundu Lissu akiongea kwenye mkutano uliofanyika Viwanja vya Mwembeyanga.
Mhe. Mnyika akiongea katika mkutano.
Kamanda Lema naye akimwaga cheche jukwaani.
Maandamano yakiendelea kuelekea Mwembeyanga.
Share this article :

0 comments:

Speak up your mind

Tell us what you're thinking... !

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

PROFESSIONAL BLOG DESIGNERS

IDADI YA WATU

BLOG ARCHIVE

DROP YOUR COMMENTS HERE

 
Designed by : Bongo Blogs Designers | Bloggerized by | Tryphone Chasama Jr
Contacts: 0719 625003 / 0765 860437Welcome
Copyright © 2011. SNOUT HOT NEWZ - All Rights Reserved
Template Design by Creating Website Published by Mas Template